Asilimia kubwa ya wanawake huwa wanafurahia sana wanapopata ujauzito licha ya kuwepo changamoto za hapa na pale
Kwa mara nyinyi mwanamke anapopata mimba, mambo mengi hubadilika kwa maisha yake ikiwemo uhusiano wake wa kimapenzi na mumewe.
Habari Nyingine: Jalang'o aanikwa na kipusa aliyekuwa akimmezea mate

Nusu ya wanawake huwa wanashindwa kushiriki ngono na wapenzi wao kwa sababu kadhaa ambazo hawawezi wakaziepuka.
Wanawake wengi hufika msimu fulani ambapo hata hawataki kuwaona wala kuhisi harufu ya manukato ya wanaume wao.
Habari Nyingine: Picha ya sosholaiti Mtanzania akipapasa sehemu nyeti ya mwanaume yazua hisia mseto
TUKO.co.ke iliweza kukusanya matatizo kadhaa ambayo wanawake wajawazito hukumbwa nayo wanaposhiriki ngono na wanaume wao;
1. Tumbo kubwa huwa inamzuia mwanamke mjamzito kupata hali mwafaka ya kushiriki ngono
2. Wanawake wengi wajawazito hudhani kuwa ujauzito huwafanya wasiwe na mvuto kwa wanaume wao
3. Matiti yao huwa makubwa na wao huhisi uchungu wanapoguswa, wengi huwakataza waume wao kufanya hivyo
4. Harufu ya mume wako inakukera na kila mara unapomuona mbele yako unajihisi kutapika
Habari Nyingine: Mwanamke amshataki mpenziwe kwa kumuuma sehemu nyeti kitandani
5. Mwanamke wa mimba kwa mara nyingi hukosa hamu ya kushiriki ngono na hata wengine wao huhama kwenye chumba anamolala na mumewe
6. Wanawake wengi hutoka na damu kwenye sehemu zao za siri wanaposhiriki ngono hivyo basi wanaamua kuepukana na ngono hadi watakapojifungua
7. Kufura kwa sehemu kadhaa za mwili wakati wa ujauzito pia hufanya wanaume kukosa hamu ya kushiriki ngono

Tuma neno ‘NEWS’ kwa 40227 ili kupata habari muhimu pindi zinapochipuka
8. Mwanamke mjamzito anapolala kila mara kuhusu maumivu ya kichwa, mgongo ama kwenye sehemu yoyote ya mwili huwafanya wanaume wakose tamaa ya ngono
9. Tatizo la wanawake wajawazito kujisikia kichefu chefu pia huwaondoa wanaume hamu ya kutaka kufanya mapenzi
Read: ENGLISH VERSION
Una taarifa motomoto au sakata ambayo ungependa tuichapishe? Wasiliana nasi kwa news@tuko.co.ke, mwangi.muraguri@tuko.co.ke , kwenye WhatsApp: 0732482690 na kwenye Telegram: Tuko News
Tazama habari zaidi kutoka TUKO TV
Subscribe to watch new videosChanzo: TUKO.co.ke
ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2Bvzmeinmdibn16fJRmpJqskam2u7uMmqSbmamkeritzZqumqOVYsSitsCwmLOhpKR6qcHKrqSbmZ6Weq%2Bt2KhksJmelr2wv8eiqaKjmWK7qLvNqGWhrJ2h